All Our Latest News and Blogs
We market and sell natural gas under PSA arrangement.
-
09Jul
TPDC KUONGEZA KASI YA USAMBAZAJI GESI ASILIA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba amesema Serikali imejipanga kushirikiana na sekta binafsi katika kuongeza kasi ya ujenzi wa miundombinu ya usambazaji… Read More →
-
01Jul
DKT.MATARAGIO AKAGUA UJENZI WA KITUO MAMA CHA KUJAZIA GESI ASILIA KWENYE MAGARI
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amekagua kazi za ujenzi wa kituo cha kujazia gesi asilia kinachojengwa katika barabara ya Sam Nujoma… Read More →
-
27Jun
SERIKALI YAONDOA TOZO KWENYE GESI ASILIA
Serikali imeridhia ombi la kuondoa ushuru wa shilingi 382 iliyokuwa imepanga kuweka kwenye kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari kuanzia mwaka ujao wa… Read More →
-
13Jun
WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI TPDC, WATEMBELEA MIRADI YA UWAJIBIKAJI KWA JAMII (CSR)
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za kijamii kwenye maeneo ambayo shughuli za utafutaji, uzalishaji,… Read More →
-
12Jun
TPDC YAPONGEZWA KUENDESHA VIWANDA VYA KUCHAKATA GESI KWA KUTUMIA WAZAWA
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi TPDC wamepongeza jitihadaa zinazofanywa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) katika kuwajengea uwezo wafanyakazi wanaoendesha mitambo ya kuchakata gesi… Read More →
-
07Jun
TPDC YAWEKA MKAKATI WA KUWA NA HIFADHI KUBWA YA MAFUTA NCHINI
Hayo yameelezwa katika ziara ya Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) inayoongozwa na Mhe. Balozi Ombeni Sefue wakati wa ziara… Read More →
-
17May
TPDC, ROSETTA NA AFRICA 50 ZASAINI MKATABA WA UBIA WA KUSAMBAZA GESI ASILIA NCHINI
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Kampuni ya Rosetta ya nchini Misri wamesaini mkataba wa awali wa ubia wa utekelezaji wa mradi wa… Read More →
-
02Apr
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI AFANYA ZIARA TPDC
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio,amefanya ziara ya kikazi katika Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na kuzungumza na Menejimenti… Read More →
-
26Mar
NAIBU WAZIRI MKUU NA WAZIRI WA NISHATI AZINDUA RASMI KIWANDA CHA UWEKAJI MIFUMO MBALIMBALI KWENYE MABOMBA YA MRADI EACOP
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amefanya uzinduzi rasmi wa Kiwanda cha uwekaji mifumo mbalimbali katika mabomba yatakayotumika kusafirisha mafuta… Read More →
-
23Mar
PIC YAFURAHISHWA NA UWEKEZAJI WA SERIKALI KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imefurahishwa na matokeo ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Sekta ya mafuta na… Read More →
-
20Mar
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YARIDHISHWA NA MATUMIZI YA FEDHA ZINAZOTOLEWA NA SERIKALI MRADI WA EACOP
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC) imefanya ziara ya kikazi katika Kiwanda cha kuweka mifumo ya kupasha joto mabomba ya mradi… Read More →
-
31Aug
KAMPUNI TANZU ZA TPDC; GASCO NA TANOIL ZAPATA BODI ZA KUDUMU
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) leo tarehe 31/08/2023 limezikabidhi rasmi Kampuni zake Tanzu za GASCO na TANOIL miongozo na Sheria mbalimbali zitakazowaongoza katika… Read More →