NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NORWAY ARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA AWALI YA MRADI WA LNG TANZANIA
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Mhe. Andrea Motzfeldt Kravik, ameonesha kuridhishwa kwake na maendeleo ya maandalizi ya mradi wa Kimkakati wa Kusindika gesi asilia (LNG) unaotarajiwa kutekelezwa katika eneo la Likong’o Mkoani Lindi, Kusini mwa Tanzania. Akiwa katika ziara yake Mkoani humo, Mhe. Kravik alitembelea eneo la mradi pamoja na kukutana na Viongozi wa Serikali, Wataalamu wa sekta ya nishati, na wadau mbalimbali wa maendeleo. Ziara hiyo…
Read more →