TPDC YAUNGA MKONO MPANGO WA NISHATI SAFI NCHINI
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
‘’Ujenzi wa Kituo mama cha kushindilia gesi asilia kwenye magari (CNG) ni sehemu ya Mpango Mkakati wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha Watanzania wote wanatumia nishati safi kwenye magari, kupikia na vyombo vingine vya moto.’’ Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Dkt. James Mataragio wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa Mradi wa Kituo MaMa cha…
Read more →