Our Latest Blog Posts
11
Jan

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NORWAY ARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA AWALI YA MRADI WA LNG TANZANIA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Mhe. Andrea Motzfeldt Kravik, ameonesha kuridhishwa kwake na maendeleo ya maandalizi ya mradi wa Kimkakati wa Kusindika gesi asilia (LNG) unaotarajiwa kutekelezwa katika eneo la Likong’o Mkoani Lindi, Kusini mwa Tanzania. Akiwa katika ziara yake Mkoani humo, Mhe. Kravik alitembelea eneo la mradi pamoja na kukutana na Viongozi wa Serikali, Wataalamu wa sekta ya nishati, na wadau mbalimbali wa maendeleo. Ziara hiyo…

Read more →
09
Jan

DKT. BITEKO ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA KITUO MAMA CHA KUJAZA GESI ASILIA KWENYE MAGARI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, ameridhishwa na kasi ya maendeleo ya ujenzi wa Kituo mama cha kujaza gesi asilia kwenye magari (CNG Mother Station) kinachojengwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) katika eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambapo ameeleza kwamba kukamilika kwa Kituo hicho mapema mwaka huu kutawawezesha Watanzania wengi, hususan wanaotumia gesi asilia kwenye magari kupata huduma hiyo…

Read more →
06
Jan

UJENZI WA KITUO MAMA CHA KUJAZA GESI ASILIA KWENYE MAGARI WAFIKA ASILIMIA 80

Ujenzi wa Kituo Mama cha Kujazia gesi asilia kwenye magari (CNG Mother Station) kinachojengwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) eneo la Chuo Kikuu Dar es salaam umefikia asilima 80 hadi kukamilika kwake na imeelezwa kuwa mwishoni mwa mwezi Januari,2025 Kituo hicho kitaanza kutumika kusambaza nishati hiyo muhimu. Akizungumza na Waandishi wa Habari leo tarehe 06 Januari, 2025 Jijini Dar es salaam, baada ya kukagua Kituo hicho, Naibu…

Read more →
05
Dec

NAIBU KATIBU MKUU AIPONGEZA TPDC KUTUMIA WATAALAM WA NDANI

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Ndg. Msafiri Mbibo amelipongeza Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa namna linavyotekeleza Miradi yake kwa kutumia Wataalam wa ndani katika utafiti wa miradi ya mafuta na gesi. Pongezi hizo amezitoa wakati alipotembelea katika banda la TPDC kwenye Mkutano Mkuu wa Wajiolojia unaofanyika Jijini Tanga ambapo alikua mgeni rasmi katika ufunguzi wa Mkutano huo uliofanyika tarehe 04 Desemba,2024. Akiwa katika banda la TPDC aliweza kupewa maelezo ya Miradi mbalimbali…

Read more →
25
Oct

TPDC YAPONGEZWA UHAMASISHAJI WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI

Waziri wa Maji, Nishati na Madini Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Shaib Kaduara apongeza juhudi za Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) katika jitihada za kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan kuhamasisha matumizi ya nishati safi nchini. Waziri Kaduara amesema hayo alipotembelea banda la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) katika Kongamano la kumi la jotoardhi Barani Afrika (ARGeo-C10) leo tarehe 25.10.2024 katika Kituo cha mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius…

Read more →
24
Oct

TPDC YAPONGEZWA KASI YA UTAFITIBONDE LA EYASI WEMBERE 

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema kuwa mradi wa utafiti wa mafuta na gesi kwenye Bonde la Eyasi Wembere lililopo katika mikoa ya Simiyu, Singida na Arusha,Tabora na Shinyanga utekelezaji wake umefikia asilimia 40. Hayo yameelezwa na Bodi ya Wakurugenzi ya TPDC walipotembelea eneo la mradi wa utafiti wa mafuta na gesi katia Bonde la Eyasi Wembere na kuridhishwa na juhudi zinazofanywa na Shirika hilo.   ‘’Tumejionea kazi nzuri ya utafiti…

Read more →
18
Oct

UJENZI MRADI WA EACOP WAFIKIA ASILIMIA 45.5

Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), unaounganisha bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga, umefikia asilimia 45.5 katika hatua ya ujenzi ambapo shughuli za ujenzi zinaendelea katika maeneo mbalimbali kuanzia Mtukula Kagera mpaka Chongoleani Tanga. Taarifa hii imetolewa Oktoba 18, 2024, na Mratibu wa Mradi wa EACOP kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Asiadi Mrutu, wakati Wajumbe wa Tume ya…

Read more →
03
Oct

TPDC YATOA UFAFANUZI CHANGAMOTO YA VITUO VYA KUJAZIA GESI ASILIA KWENYE MAGARI

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetoa ufafanuzi kuhusu changamoto ya upatikanaji wa huduma ya kujaza gesi kwenye magari katika vituo vya kujazia gesi asilia. Ufafanuzi huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Biashara ya Mafuta na Gesi Mhandisi Emmanuel Gilbert wakati akifanya mkutano na Waandishi wa Habari leo tarehe 03.10.2024 Jijini Dar es salaam. Amesema changamoto ya upatikanaji wa gesi asilia kwenye magari inatokana na mapokeo ya matumizi ya…

Read more →
20
Sep

KADHIA YA KUJAZA GESI ASILIA KWENYE MAGARI KUTATULIWA DESEMBA                                                           

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felichesmi Mramba amewahakikishia watumiaji wa gesi asilia kwenye magari kuwa kadhia waliokuwa wakiipata kutokana na uhaba wa vituo vya kupata huduma hiyo itafikia ukomo kuanzia mwisho wa mwaka huu. Ameyasema hayo leo tarehe 20.09.2024 wakati wa ziara yake fupi ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Kituo Mama cha Kushindilia gesi asilia (CNG Mother Station) kinachojengwa na kumilikiwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli…

Read more →
17
Sep

KAPINGA AFUNGUA KIKAO KAZI TPDC

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga Septemba 17, 2024 amefungua kikao kazi cha Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Jijini Mwanza. Lengo la kikao hicho ni kujitathmini, kujipanga na kukumbushana masuala mbalimbali ya Taasisi, ikiwemo maelekezo mbalimbali ya Serikali ya uendeshaji wa Kampuni. Amewasisitiza na kuwakumbusha umuhimu wa kufanya kazi kwa umoja, ubunifu, weledi na upendo baina ya uongozi wa TPDC na Wafanyakazi. " Wizara ipo pamoja…

Read more →
1 2 3 9