TPDC YATOA ELIMU YA MAFUTA NA GESI ASILIA KWA VIONGOZI WA DINI NA MADIWANI
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema hadi sasa tayari magari 2,000 yameunganishwa na mfumo wa kutumia gesi asilimia huku nyumba 1,511 zikitumia gesi hiyo kama nishati ya kupikia. Pia taasisi zaidi ya 10 na viwanda 56 zimeunganishwa kwenye matumizi ya nishati hiyo ambayo inachangia zaidi ya asilimia 50 ya umeme kwenye gridi ya Taifa. Unafuu wa matumizi ya gesi asilia kwenye magari unabainishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa…
Read more →