Our Latest Blog Posts
08
Feb

TPDC NA ENH KUSHIRIKIANA

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzani (TPDC) na Kampuni ya Mafuta ya Taifa ya Msumbiji (Empresa Nacional de Hidrocarbonetos-ENH) zimekubaliana kuanzisha ushirikiano wa kimkamkati katika sekta ya utafutaji na uendelezaji wa rasilimali za gesi asilia na mafuta.Makampuni hayo mawili yamekutana Jijini Dar es salaam kwa ajili ya majadiliano ya kushirikiana ambapo TPDC ilitoa mualiko kwa ENH kwa lengo la kuanzisha majadiliano hayo muhimu kwa nchi zote mbili.Akiongea baada ya kikao…

Read more →
07
Feb

ZAMBIA YAJIFUNZA TANZANIA KUHUSU NISHATI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati wa Zambia, Mhandisi Himba Cheelo amefanya ziara ya kutembelea mitambo ya kupokea gesi asilia  inayosimamiwa na GASCO Kampuni Tanzu ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) iliyopo Kinyerezi Jijini Dar es Salaam. Akiwa katika mitambo hiyo Mhandisi Cheelo amesema,  lengo la ziara hiyo ni kujifunza namna Tanzania imepiga hatua katika suala la uzalishaji na usambazaji wa gesi asilia kwa matumizi mbalimbali. "Zambia imefanya…

Read more →
25
Jan

CP AWADHI: SIMAMIENI MISINGI YA KIUTENDAJI YA JESHI LA POLISI KULINDA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA

Kamishna wa Polisi wa Operesheni na Mafunzo Awadhi Juma Haji ametembelea na kukagua kituo cha kupokea gesi asilia  Kinyerezi  Jijini Dar es salaam na kituo cha makutano ya awali ya kupokea gesi asilia kilichopo Somangafungu Kilwa Mkoani Lindi tarehe 24/01/2023. Akiwa katika ziara hiyo amewaasa Makamanda wa Jeshi la Polisi wanaosimamia maeneo ya mkuza wa bomba la gesi asilia kutekeleza majukumu yao kwa weledi na kuzingatia kanuni na misingi ya…

Read more →
23
Jan

CP AWADHI ATEMBELEA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA SONGOSONGO

CP AWADHI ATEMBELEA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA SONGOSONGO Kamishna wa Polisi wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Nchini CP Awadhi Juma  leo tarehe 23/01/2023 amefanya ziara ya kutembelea miundombinu ya gesi asilia iliyopo Songosongo Mkoani Lindi inayosimamiwa na Kampuni Tanzu ya TPDC (GASCO). Ikiwa lengo la ziara  hiyo ni kujionea hali ya usalama wa miundombinu ya gesi asilia katika maeneo yanayopitiwa na bomba la gesi asilia ambapo Jeshi…

Read more →
16
Jan

TPDC Imetoa Jumla ya Shilingi 1.5 Bilioni kwenye Shughuli za Kijamii Nchini

TPDC Imetoa Jumla ya Shilingi 1.5 Bilioni kwenye Shughuli za Kijamii Nchini Hayo yamezungumzwa na Kaimu Meneja wa Kitengo cha Usalama cha GASCO kutoka Kampuni Tanzu ya TPDC ndugu Fred Mfikwa wakati akikabidhi viti na meza 85 kwa Shule ya Sekondari ya Kikanda Mkoani Lindi.  “Uwajibikaji kwa jamii ni kipaumbele cha Shirika ikiwa mpaka sasa zaidi ya shilingi bilioni 1.5 zimetumika kutekeleza miradi mbalimbali ya kuinua huduma za kijamii kwenye…

Read more →
10
Jan

TPDC Yaendesha Zoezi la Utoaji Elimu ya Miundombinu ya Gesi Asilia Mkoani Lindi

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) liliendesha zoezi la utoaji elimu kwa Wananchi wa Vijiji/Mitaa inayopitiwa na miundombinu ya gesi asilia.Shirika limekua na utaratibu wa kutoa elimu kwa umma juu ya miradi mbalimbali ya utafiti na uendelezaji wa nishati ya mafuta na gesi asilia nchini. Elimu hii imetolewa ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano mazuri na kuwajengea uwezo wananchi kutambua fursa za uwekezaji wa miradi ya gesi pamoja na…

Read more →
14
Dec

TPDC Yaendesha Semina Kwa Waandishi Wa Habari

TPDC Yaendesha Semina Kwa Waandishi Wa Habari Waandishi wa Habari wamekumbushwa kutumia vyema taaluma yao kuisemea Sektaya mafuta na gesi asilia nchini ambayo imekuwa na mchango mkubwa katika Uchumiwa TaifaHayo yamesemwa na Meya wa Manispaa ya Morogoro Mhe. Paschal Kihangi wakatiwa ufunguzi wa semina ya Waandishi wa Habari kuhusu Sekta ya mafuta na gesi asiliaMkoani MorogoroSemina hiyo imeandaliwa na Shirika la maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) ikiwa nalengo la kuwajengena…

Read more →
07
Dec

Gesi Asilia Kukuza Sekta ya Viwanda

Gesi Asilia Kukuza Sekta ya Viwanda Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea na zoezi la kutoa elimukwa wananchi mbalimbali waliohudhuria kwenye Maonesho ya Saba ya Viwanda yenyekauli mbiu ‘’Nunua Bidhaa za Tanzania Jenga Tanzania’’ yanafanyika katika viwanjavya Mwl. J.K Nyerere jijini Dar es salaam.Akizungumza katika Maonesho hayo Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na MawasilianoBi. Marie Msellemu amesema lengo la TPDC ni kuongeza kasi ya usambazaji wa gesiasilia kwenye…

Read more →
04
Dec

Waziri wa Viwanda na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Ametembelea Banda la Maonesho la TPDC

Waziri wa Viwanda na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Ametembelea Banda la Maonesho la TPDC Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe.Omar Said Shaaban (wa pili kushoto) akipewa maelezo kuhusu umuhimu wa matumizi ya gesi asilia katika kuzalisha umeme, matumizi ya gesi asilia viwanda, kwenye magari na majumbani na Mhandisi Eva Swillah kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) alipotembelea banda la TPDC kwenye Maonesho ya Saba ya…

Read more →