NAIBU WAZIRI MKUU NA WAZIRI WA NISHATI AZINDUA RASMI KIWANDA CHA UWEKAJI MIFUMO MBALIMBALI KWENYE MABOMBA YA MRADI EACOP
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amefanya uzinduzi rasmi wa Kiwanda cha uwekaji mifumo mbalimbali katika mabomba yatakayotumika kusafirisha mafuta ghafi mradi wa EACOP kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga Tanzania tarehe 26.03.2024. Dkt. Biteko amesema kwamba ujenzi wa Mradi huo unaendelea vizuri ambapo hadi sasa kwa upande wa eneo la kuhifadhia mafuta ujenzi wa matenki makubwa manne Chongoleani Tanga umefikia asilimia 37 huku ujenzi…
Read more →