PIC YAFURAHISHWA NA UWEKEZAJI WA SERIKALI KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imefurahishwa na matokeo ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Sekta ya mafuta na gesi asilia nchini. Hayo yamejiri wakati wa ziara maalumu ya Kamati hiyo ilipotembelea mitambo ya uchakataji gesi asilia ya Mnazi bay na Madimba Mkoani Mtwara. Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Deus Sangu (Mb) alisema kuwa Kamati imefurahishwa na matokeo ya uwekezaji uliofanywa na unaoendelea kufaywa…
Read more →