KAPINGA AFUNGUA KIKAO KAZI TPDC
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga Septemba 17, 2024 amefungua kikao kazi cha Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Jijini Mwanza. Lengo la kikao hicho ni kujitathmini, kujipanga na kukumbushana masuala mbalimbali ya Taasisi, ikiwemo maelekezo mbalimbali ya Serikali ya uendeshaji wa Kampuni. Amewasisitiza na kuwakumbusha umuhimu wa kufanya kazi kwa umoja, ubunifu, weledi na upendo baina ya uongozi wa TPDC na Wafanyakazi. " Wizara ipo pamoja…
Read more →