Ujumbe wa Uganda Wawasili Tanga
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Ujumbe wa Uganda Wawasili Tanga Ujumbe wa watu 26 kutoka nchini Uganda ukiongozwa na Waziri wa Nishati wa nchi hiyo Peter Lokeri umewasili Mkoani Tanga lengo likiwa ni kujionea maendeleo ya mradi wa Bomba la Mafuta linalojengwa kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga Tanzania. Miongoni mwa viongozi walioambatana na wageni hao ni pamoja na Balozi wa Uganda nchini Tanzania Richard Kabonero, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felichesmi Mramba…
Read more →