Our Latest Blog Posts
22
Jul

Ujumbe wa Uganda Wawasili Tanga

Ujumbe wa Uganda Wawasili Tanga Ujumbe wa watu 26 kutoka nchini Uganda ukiongozwa na Waziri wa Nishati wa nchi hiyo Peter Lokeri umewasili Mkoani Tanga lengo likiwa ni  kujionea maendeleo ya mradi wa Bomba la Mafuta linalojengwa kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga Tanzania. Miongoni mwa viongozi walioambatana na wageni hao ni pamoja na Balozi wa Uganda nchini Tanzania Richard Kabonero, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felichesmi Mramba…

Read more →
21
Jul

Uganda Watembelea Mradi wa Gesi Asilia Kinyerezi

Uganda Watembelea Mradi wa Gesi Asilia Kinyerezi Ujumbe kutoka nchini Uganda umeipongeza Serikali ya Tanzania na kufurahishwa na utekelezaji wa Mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia Gesi Asilia wa Kinyerezi Mkoani Dar es salaam, baada ya kutembelea mradi huo. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba wakati wa ziara ya Ujumbe kutoka nchini Uganda uliohusisha Waziri wa Nchi anayeshughulikia Maendeleo ya Madini, Wizara ya Nishati na…

Read more →
20
Jul

Wabunge wa Uganda Wajifunza Usafirishaji wa Mafuta Ghafi TAZAMA

Wabunge wa Uganda Wajifunza Usafirishaji wa Mafuta Ghafi TAZAMA Serikali kupitia Wizara ya Nishati imepokea Ujumbe kutoka nchini Uganda waliokuja nchini, kuona na kujifunza mambo mbalimbali kuhusu sekta ya Mafuta hasa usafirishaji wa mafuta ghafi kupitia Bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Tanzania hadi Zambia (TAZAMA). Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema hayo wakati wa ziara ya ujumbe huo uliohusisha Wabunge wa Kamati ya Mazingira na Maliasili,…

Read more →
13
Jul

Makamba: Nchi Bado Haijagundua Mafuta, Tpdc Inaendelea Na Utafiti Eyasi Wembere

Nchi Bado Haijagundua Mafuta, Tpdc Inaendelea Na Utafiti Eyasi Simiyu.Waziri wa Nishati Mhe. January Yusuf Makamba alisema Tanzania bado haijagunduamafuta, Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) inaendelea najitihada za utafiti katika Bonde la Eyasi Wembere.Mhe. Makamba aliyasema hayo alipokuwa akifanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoawa Simiyu pamoja na Waandishi wa Habari, tarehe 13 Julai, 2022 Mkoani Simiyu.“Nchi yetu bado haijagundua mafuta, kumekuwa na jitihada za makusudizinazotekelezwa na…

Read more →
12
Jul

Ugunduzi Wa Mafuta Eyasi Wembere Utachochea Ukuaji Wa Uchumi Nchini.

Ugunduzi Wa Mafuta Eyasi Wembere Utachochea Ukuaji Wa Uchumi Nchini. Arusha.Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella alisema endapo Tanzaniaitafanikiwa kugundua mafuta katika bonde la Eyasi Wembere Wilayani Karatuitakuwa ni hatua kubwa na muhimu itakayosaidia kukuza uchumi wa Taifa. Mheshimiwa Mongella aliyasema hayo alipokuwa akiongea na Kikosi kazi chaMaafisa kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) walipofika ofisinikwake kutoa taarifa ya maendeleo ya mradi. “Mmenipa taarifa kwamba, mradi wautafutaji…

Read more →
09
Jul

Zaidi Ya Asilimia 60 Ya Umeme unazalishwa na Gesi Asilia-Mwenyekiti Wa Bodi -PURA

Zaidi Ya Asilimia 60 Ya Umeme unazalishwa na Gesi Asilia-Mwenyekiti Wa Bodi -PURA Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) Bwana Khalfan Khalfan leo tarehe 09/07/2022 ametembelea banda la TPDC katika Maonesho ya 46 ya Biashara jijini Dar es salaam na kutoa pongezi kwa TPDC kwa kuendelea kuwa na mchango mkubwa kwa Taifa katika uzalishaji wa umeme. ‘’Zaidi ya asilimia 60 ya umeme nchini…

Read more →
08
Jul

Angola na Tanzania Zajadiliana Ushirikiano Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia 

Angola na Tanzania Zajadiliana Ushirikiano Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia  Dar es salaam. Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro Renato Agostinho De Oliveira amefanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Dkt. James Mataragio kuangazia maeneo mbalimbali ambayo Angola na Tanzania wanaweza kushirikiana hususan katika Sekta ya mafuta na gesi asilia. Akizungumza katika kikao hicho, Balozi Sandro alieleza nia ya Serikali ya Angola…

Read more →
07
Jul

Mkurugenzi Mtendaji Wa TPDC Atembelea Maonesho Ya Sabasaba

Mkurugenzi Mtendaji Wa TPDC Atembelea Maonesho Ya Sabasaba Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Dkt. James Mataragio tarehe 07/07/2022 alitembelea Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) katika banda la TPDC Jijini Dar es salaam. Akizungumza na Waandishi wa Habari katika banda hilo Dkt. Mataragio alisema kuwa kiasi cha gesi asilia kilichogunduliwa mpaka sasa ni futi za ujazo Trilioni 57.54 tcf. ‘’Kiasi…

Read more →
04
Jul

Waziri Makamba Azindua Bodi Ya TPDC

Waziri Makamba Azindua Bodi Ya TPDC Arusha, 4 Julai, 2022. Mnamo tarehe 20 Mei 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan alimteua Balozi Ombeni Sefue kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kufuatia uteuzi huo mnamo tarehe 10 Juni 2022 Waziri wa Nishati, Mhe. January Y. Makamba (Mb) aliteua wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya TPDC ili kukamilisha safu ya…

Read more →
30
Jun

TPDC Yatunukiwa Tuzo

TPDC Yatunukiwa Tuzo Dar es salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dkt. James Mataragio alipokea tuzo ya heshima kutoka kwa Serikali ya Uganda kupitia Mamlaka ya Uwekezaji nchini humo (Uganda Investment Authority-UIA) kwa kutambua mchango wake wa kitaalam katika kufanikisha mradi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) pamoja na kufikia maamuzi ya mwisho ya uwekezaji (FID) ya mradi. Tuzo hiyo ilikabidhiwa…

Read more →