Ugunduzi Wa Mafuta Eyasi Wembere Utachochea Ukuaji Wa Uchumi Nchini.
- By:admin
- Category:TPDC
- 0 comment
Ugunduzi Wa Mafuta Eyasi Wembere Utachochea Ukuaji Wa Uchumi Nchini. Arusha.Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella alisema endapo Tanzaniaitafanikiwa kugundua mafuta katika bonde la Eyasi Wembere Wilayani Karatuitakuwa ni hatua kubwa na muhimu itakayosaidia kukuza uchumi wa Taifa. Mheshimiwa Mongella aliyasema hayo alipokuwa akiongea na Kikosi kazi chaMaafisa kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) walipofika ofisinikwake kutoa taarifa ya maendeleo ya mradi. “Mmenipa taarifa kwamba, mradi wautafutaji…
Read more →