EACOP Mambo Safi
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
EACOP Mambo Safi Manyara, Wakazi wa Kijiji cha Njoro Kata ya Kibaya Wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara wameishukuru Serikali kwa kuendeleza mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani Tanga. Wakizungumza na Mwandishi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakazi hao wamesema, wako tayari kuchangamkia fursa za ujenzi katika mradi huo. Mwalimu Clemenciana Shayo ni miongoani mwa watu waliopisha mradi huo na…
Read more →