HERI YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
‘’Ubunifu na Mabadiliko ya Teknolojia, Chachu katika kuleta usawa wa Kijinsia’’
Read more →‘’Ubunifu na Mabadiliko ya Teknolojia, Chachu katika kuleta usawa wa Kijinsia’’
Read more →VITUO 9 VYA KUJAZA GESI ASILIA KWENYE MAGARI KUJENGWA Mkurugenzi wa Biashara ya Mafuta na Gesi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dkt. Wellington Hudson amesema jumla ya vituo tisa (9) vya kujaza gesi asilia kwenye magari vinatarajia kujegwa na kukamilika katika kipindi cha miezi 24.Dkt. Hudson ameyasema hayo leo Jijini Dar es salaam wakati akifanya mkutano na Waandishi wa Habari kwa lengo la kutoa ufafanuzi kuhusu changamoto…
Read more →Tunakupongeza Ndg.Mussa Mohammed Makame kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Read more →Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) imekutana na kufanya Kikao Kazi na Kampuni ya Vitol Group ya nchini Uingereza kwa lengo la kujadili biashara ya kusindika gesi asilia kuwa kimiminika (Liquified Natural Gas). Kikao kazi hicho kimefanyika ikiwa ni miongoni mwa mikakati ya Serikali kujiandaa katika kutekeleza mradi huo ambapo kwa sasa upo katika hatua za mwisho za majadiliano ya Mkataba wa Nchi Hodhi (HGA). Kampuni ya…
Read more →Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), limesaini mkataba wa ushirikiano katika maeneo ya gesi na mafuta na kampuni ya Mafuta ya Taifa (ENH) ya nchini Msumbiji tarehe 09/02/2023 Jijini Dar es salaam. Mkurugenzi wa Biashara ya mafuta na gesi kutoka TPDC Dkt. Wellington Hudson amesema, kusainiwa kwa mkataba huo ni mafanikio ya ziara ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Msumbiji na ushirikiano baina ya mataifa hayo mawili. Mkataba…
Read more →Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzani (TPDC) na Kampuni ya Mafuta ya Taifa ya Msumbiji (Empresa Nacional de Hidrocarbonetos-ENH) zimekubaliana kuanzisha ushirikiano wa kimkamkati katika sekta ya utafutaji na uendelezaji wa rasilimali za gesi asilia na mafuta.Makampuni hayo mawili yamekutana Jijini Dar es salaam kwa ajili ya majadiliano ya kushirikiana ambapo TPDC ilitoa mualiko kwa ENH kwa lengo la kuanzisha majadiliano hayo muhimu kwa nchi zote mbili.Akiongea baada ya kikao…
Read more →Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati wa Zambia, Mhandisi Himba Cheelo amefanya ziara ya kutembelea mitambo ya kupokea gesi asilia inayosimamiwa na GASCO Kampuni Tanzu ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) iliyopo Kinyerezi Jijini Dar es Salaam. Akiwa katika mitambo hiyo Mhandisi Cheelo amesema, lengo la ziara hiyo ni kujifunza namna Tanzania imepiga hatua katika suala la uzalishaji na usambazaji wa gesi asilia kwa matumizi mbalimbali. "Zambia imefanya…
Read more →http://tpdc.co.tz/wp-content/uploads/2023/01/Newslatter-January2023-7.pdf
Read more →Kamishna wa Polisi wa Operesheni na Mafunzo Awadhi Juma Haji ametembelea na kukagua kituo cha kupokea gesi asilia Kinyerezi Jijini Dar es salaam na kituo cha makutano ya awali ya kupokea gesi asilia kilichopo Somangafungu Kilwa Mkoani Lindi tarehe 24/01/2023. Akiwa katika ziara hiyo amewaasa Makamanda wa Jeshi la Polisi wanaosimamia maeneo ya mkuza wa bomba la gesi asilia kutekeleza majukumu yao kwa weledi na kuzingatia kanuni na misingi ya…
Read more →CP AWADHI ATEMBELEA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA SONGOSONGO Kamishna wa Polisi wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Nchini CP Awadhi Juma leo tarehe 23/01/2023 amefanya ziara ya kutembelea miundombinu ya gesi asilia iliyopo Songosongo Mkoani Lindi inayosimamiwa na Kampuni Tanzu ya TPDC (GASCO). Ikiwa lengo la ziara hiyo ni kujionea hali ya usalama wa miundombinu ya gesi asilia katika maeneo yanayopitiwa na bomba la gesi asilia ambapo Jeshi…
Read more →