Our Latest Blog Posts
04
Oct

Tpdc Kujenga Bomba La Gesi Jipya Mtwara 

Tpdc Kujenga Bomba La Gesi Jipya Mtwara  Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeanza mchakato wa Ujenzi wa Bomba la gesi kutoka Ntorya hadi Madimba lenye urefu wa kilomita 35. Mchakato huo umeanza kwa  kufanya mkutano wa uhamasishaji kwa wananchi wa Kata ya Madimba, Moma, Mbawala na Nanguruwe kuhusu ujenzi wa mradi huo ambao utaanzia Kijiji cha Ntorya. Akizungumza wakati wa mkutano huo Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Dustan…

Read more →
11
Sep

TPDC Yachangia Shilingi Milioni 100 JKCI

TPDC Yachangia Shilingi Milioni 100 JKCI Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt.Jakaya Kikwete amezitaka Taasisi na Mashirika kuendelea kuandaa mashindano ya mbio za  hisani (MARATHON) yatakayosaidia katika kuchangisha fedha kwa ajili ya huduma za matibabu kwa wananchi. Akizungumza  Jijini Dar es salaam kwenye mashindano ya mbio hizo za hisani yaliyoandaliwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)kwa lengo la   kuwezesha kuchangia gharama za upasuaji kiasi cha Sh.milioni…

Read more →
29
Aug

TPDC Yawaalika Watanzania Kuchangia Matibabu ya Ugonjwa wa Moyo

TPDC Yawaalika Watanzania Kuchangia Matibabu ya Ugonjwa wa Moyo Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dkt. James Mataragio amewaomba watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki mbio za hisani maarufu kama TPDC MARATHON zilizoandaliwa na  Shirika hilo kwa lengo la kupata fedha za kusaidia upasuaji kwa watoto 50 wenye matatizo ya moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Waandishi wa…

Read more →
27
Aug

AJIRA MPYA

TPDC Invites applications from qualified Tanzanians to fill 62 posts in various fields. Application details are available via the official website of the Public Service Recruitment Secreteriat. Nafasi-za-AjiraDownload

Read more →
26
Aug

Bodi ya TPDC Yaanza Kazi, Yafanya Ziara Mtwara na Lindi

Bodi ya TPDC Yaanza Kazi, Yafanya Ziara Mtwara na Lindi Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) inayoongozwa  na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Balozi Ombeni Sefue imefanya ziara ya kikazi  kutembelea miradi ya utafutaji, uendelezaji na uzalishaji wa gesi asilia katika mikoa ya  Lindi na Mtwara.  Akiongea baada ya kuona kazi za ukusanyaji takwimu za mtetemo kwa mfumo wa 3D  katika kitalu cha Ruvuma kinachoendeshwa na…

Read more →
16
Aug

Tanzania Na Oman Kushirikiana Kukuza Sekta Ya Nishati 

Tanzania Na Oman Kushirikiana Kukuza Sekta Ya Nishati  Waziri wa Nishati Mhe.January Makamba amekutana na Mhe. Balozi wa Oman nchini Tanzania Mhe.  Saud Hilal Al Shidhani na kuzungumzia fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo katika sekta ya mafuta na gesi hususani katika miradi mikubwa inayoendelea kutekelezwa nchini. Mazungumzo hayo yamefanyika katika ofisi ndogo ya Wizara ya Nishati Jijini Dar es salaam leo tarehe 16 Agosti,2022 na  yalijikita katika  kuzungumzia makubaliano mbalimbali…

Read more →
03
Aug

India Kuwekeza Kwenye Sekta ya Nishati

India Kuwekeza Kwenye Sekta ya Nishati Wawekezaji katika sekta ya gesi asilia na mafuta kutoka nchi mbalimbali duniani  wanakutana nchini, kwa lengo la kutafuta fursa za uwekezaji kwenye sekta hizo. Wakiwa hapa nchini pamoja na mambo mengine, wawekezaji hao wanashiriki kwenye  kongamano la nne la nishati Tanzania linalofanyika Mkoani  Dar es Salaam. Kando ya kongamano hilo la siku mbili,  Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dkt.…

Read more →
02
Aug

EACOP Mambo Safi

EACOP Mambo Safi Manyara, Wakazi wa Kijiji cha Njoro Kata ya Kibaya Wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara wameishukuru Serikali kwa kuendeleza mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP),  kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani Tanga. Wakizungumza na Mwandishi wa  Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakazi hao wamesema,  wako tayari kuchangamkia fursa za ujenzi katika mradi huo.  Mwalimu Clemenciana Shayo ni miongoani mwa watu  waliopisha mradi huo na…

Read more →
26
Jul

Wananchi wa Kinyagigi wafurahia Mradi  wa EACOP 

Wananchi wa Kinyagigi wafurahia Mradi  wa EACOP  Wananchi wa Kata ya Kinyagigi Singida Vijijini waliopisha mradi wa bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani Tanga wamesema,  wapo tayari kuchangamkia fursa mbalimbali kutokana na mradi huo. Wananchi hao wa vijiji vya Kinyagigi na Mitula katika kata hiyo ambao kwa sasa wanahakikiwa maeneo yao na mali zao wamesema,  wanafurahi kupitiwa na mradi huo na wamejiandaa kuchangamkia…

Read more →
25
Jul

Ujenzi wa Karakana ya Kupaka Rangi Mabomba Eneo la  Sojo Unaendelea 

Ujenzi wa Karakana ya Kupaka Rangi Mabomba Eneo la  Sojo Unaendelea  Shughuli za ujenzi wa Karakana ya mradi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) katika Kijiji cha Sojo, Nzega Mkoani Tabora uko katika hatua nzuri. Ujenzi huo unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu na kinachoendelea sasa ni wakandarasi kutoka kampuni nne tofauti wanashirikiana  kujenga kiwanda kitakachotumika kuandaa mabomba na kuyaongezea uwezo wa kutunza joto pamoja kupaka…

Read more →