Tpdc Kujenga Bomba La Gesi Jipya Mtwara 
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Tpdc Kujenga Bomba La Gesi Jipya Mtwara Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeanza mchakato wa Ujenzi wa Bomba la gesi kutoka Ntorya hadi Madimba lenye urefu wa kilomita 35. Mchakato huo umeanza kwa kufanya mkutano wa uhamasishaji kwa wananchi wa Kata ya Madimba, Moma, Mbawala na Nanguruwe kuhusu ujenzi wa mradi huo ambao utaanzia Kijiji cha Ntorya. Akizungumza wakati wa mkutano huo Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Dustan…
Read more →