MKURUGENZI MTENDAJI WA TPDC AFANYA KIKAO NA WAFANYAKAZI
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Bw. Mussa Makame amefanya kikao na Wafanyakazi wa TPDC HQ, GASCO na TANOIL.Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 15/03/2023 Jijini Dar es salaam. Akizungumza katika kikao hicho Bw. Makame amesema Shirika limepata mafanikio mengi katika mwaka 2022, ambapo miradi mbalimbali ipo katika hatua nzuri ya utekelezaji. Miradi hiyo ni mradi wa utafutaji wa mafuta na gesi Kitalu cha Mnazi Bay Kaskazini…
Read more →