CP AWADHI ATEMBELEA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA SONGOSONGO
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
CP AWADHI ATEMBELEA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA SONGOSONGO Kamishna wa Polisi wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Nchini CP Awadhi Juma leo tarehe 23/01/2023 amefanya ziara ya kutembelea miundombinu ya gesi asilia iliyopo Songosongo Mkoani Lindi inayosimamiwa na Kampuni Tanzu ya TPDC (GASCO). Ikiwa lengo la ziara hiyo ni kujionea hali ya usalama wa miundombinu ya gesi asilia katika maeneo yanayopitiwa na bomba la gesi asilia ambapo Jeshi…
Read more →