TPDC KUONGEZA WIGO WA MATUMIZI YA GESI ASILIA
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Bw. Mussa Makame amesema TPDC imejipanga kuhakikisha gesi asilia inayozalishwa Nchini kwaajili ya kuzalisha nishati ya umeme majumbani unatumika kwenye matumizi mengine ikiwemo uendeshaji wa magari. Bw. Makame amesema hayo tarehe 20/07/2023 Jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano na Wahariri wa Vyombo vya Habari kwa lengo la kujadili mafanikio na mikakati mbalimbali ya Shirika kwenye utekelezaji wa miradi ya…
Read more →