Gazeti Toleo la 17
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
http://tpdc.co.tz/wp-content/uploads/2023/01/Newslatter-January2023-7.pdf
Read more →http://tpdc.co.tz/wp-content/uploads/2023/01/Newslatter-January2023-7.pdf
Read more →Kamishna wa Polisi wa Operesheni na Mafunzo Awadhi Juma Haji ametembelea na kukagua kituo cha kupokea gesi asilia Kinyerezi Jijini Dar es salaam na kituo cha makutano ya awali ya kupokea gesi asilia kilichopo Somangafungu Kilwa Mkoani Lindi tarehe 24/01/2023. Akiwa katika ziara hiyo amewaasa Makamanda wa Jeshi la Polisi wanaosimamia maeneo ya mkuza wa bomba la gesi asilia kutekeleza majukumu yao kwa weledi na kuzingatia kanuni na misingi ya…
Read more →CP AWADHI ATEMBELEA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA SONGOSONGO Kamishna wa Polisi wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Nchini CP Awadhi Juma leo tarehe 23/01/2023 amefanya ziara ya kutembelea miundombinu ya gesi asilia iliyopo Songosongo Mkoani Lindi inayosimamiwa na Kampuni Tanzu ya TPDC (GASCO). Ikiwa lengo la ziara hiyo ni kujionea hali ya usalama wa miundombinu ya gesi asilia katika maeneo yanayopitiwa na bomba la gesi asilia ambapo Jeshi…
Read more →TPDC Imetoa Jumla ya Shilingi 1.5 Bilioni kwenye Shughuli za Kijamii Nchini Hayo yamezungumzwa na Kaimu Meneja wa Kitengo cha Usalama cha GASCO kutoka Kampuni Tanzu ya TPDC ndugu Fred Mfikwa wakati akikabidhi viti na meza 85 kwa Shule ya Sekondari ya Kikanda Mkoani Lindi. “Uwajibikaji kwa jamii ni kipaumbele cha Shirika ikiwa mpaka sasa zaidi ya shilingi bilioni 1.5 zimetumika kutekeleza miradi mbalimbali ya kuinua huduma za kijamii kwenye…
Read more →Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) liliendesha zoezi la utoaji elimu kwa Wananchi wa Vijiji/Mitaa inayopitiwa na miundombinu ya gesi asilia.Shirika limekua na utaratibu wa kutoa elimu kwa umma juu ya miradi mbalimbali ya utafiti na uendelezaji wa nishati ya mafuta na gesi asilia nchini. Elimu hii imetolewa ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano mazuri na kuwajengea uwezo wananchi kutambua fursa za uwekezaji wa miradi ya gesi pamoja na…
Read more →TPDC Yaendesha Semina Kwa Waandishi Wa Habari Waandishi wa Habari wamekumbushwa kutumia vyema taaluma yao kuisemea Sektaya mafuta na gesi asilia nchini ambayo imekuwa na mchango mkubwa katika Uchumiwa TaifaHayo yamesemwa na Meya wa Manispaa ya Morogoro Mhe. Paschal Kihangi wakatiwa ufunguzi wa semina ya Waandishi wa Habari kuhusu Sekta ya mafuta na gesi asiliaMkoani MorogoroSemina hiyo imeandaliwa na Shirika la maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) ikiwa nalengo la kuwajengena…
Read more →Gesi Asilia Kukuza Sekta ya Viwanda Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea na zoezi la kutoa elimukwa wananchi mbalimbali waliohudhuria kwenye Maonesho ya Saba ya Viwanda yenyekauli mbiu ‘’Nunua Bidhaa za Tanzania Jenga Tanzania’’ yanafanyika katika viwanjavya Mwl. J.K Nyerere jijini Dar es salaam.Akizungumza katika Maonesho hayo Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na MawasilianoBi. Marie Msellemu amesema lengo la TPDC ni kuongeza kasi ya usambazaji wa gesiasilia kwenye…
Read more →Waziri wa Viwanda na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Ametembelea Banda la Maonesho la TPDC Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe.Omar Said Shaaban (wa pili kushoto) akipewa maelezo kuhusu umuhimu wa matumizi ya gesi asilia katika kuzalisha umeme, matumizi ya gesi asilia viwanda, kwenye magari na majumbani na Mhandisi Eva Swillah kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) alipotembelea banda la TPDC kwenye Maonesho ya Saba ya…
Read more →Waziri Makamba Atoa Maagizo Kwa TPDC Na PURAWaziri wa Nishati Mhe. January Makamba, ameliagiza Shirika la Maendeleo ya PetroliTanzania (TPDC) pamoja na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA),kuhakikisha mradi wa uchimbaji wa gesi kitalu cha Ruvuma kilichopo Mkoani Mtwaraunakamilika kwa wakati.Mhe. Makamba ameyasema hayo leo tarehe 25/11/2022 Jijini Dar es Salaam wakatihalfa ya uwekaji saini Mkataba wa Nyongeza wa Uzalishaji na Ugawanaji Mapato (PSA)Kitalu cha Ruvuma-Mtwara kati…
Read more →Waziri Makamba Azindua Bodi Ya TPDC Soma Kwa Undani http://tpdc.co.tz/wp-content/uploads/2022/11/TPDC-gazeti4.pdf
Read more →