KAMPUNI TANZU ZA TPDC; GASCO NA TANOIL ZAPATA BODI ZA KUDUMU
- By:Beatrice Peter
- Category:TPDC
- 0 comment
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) leo tarehe 31/08/2023 limezikabidhi rasmi Kampuni zake Tanzu za GASCO na TANOIL miongozo na Sheria mbalimbali zitakazowaongoza katika utekelezaji wa majumu yao mapya. Aidha, Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC, Balozi Ombeni Sefue amewaasa Wenyeviti na Wajumbe wa Bodi hizo kutafsiri malengo ya Shirika mama (TPDC) yaliyotolewa na Serikali na kuhakikisha Menejimenti za Kampuni hizo zinatekeleza Majukumu yao kwa ufanisi na kuleta faida katika…
Read more →